NI MALINZI NA KARIA, NYAMKANI, MADEGA NA NASSIB CHALI | JIFUNZE UJASIRIAMALI

NI MALINZI NA KARIA, NYAMKANI, MADEGA NA NASSIB CHALI


Rais mteule wa TFF  Jamal Malinzi
‘Hayawi hayawi  hatimaye yamekuwa na asiyekuwa na mwana aelekee jiwe’ hayo diyo maneno mashabiki wa mpira wengi mitaani walivyosikika wakitamka leo nchini Tanzania baada ya kile kinyanganyiro  cha uraisi wa TFF kilichosubiriwa kwa hamu  muda mrefu kumalizika rasmi huku Jamal Malinzi akitwaa Uraisi wa Shirikisho hilo na kumbwaga hasimu wake mkubwa Athmani Nyamkani.
Wallace Karia mshindi katika nafasi ya umakamu wa Rais TFF

Vile vile nafasi ya Umakamu imemuangukia Wallace Karia baada ya kuwagaragaza Iman Madega na Ramadhan Nassib.

0 Response to "NI MALINZI NA KARIA, NYAMKANI, MADEGA NA NASSIB CHALI"

Post a Comment