HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA HAPO KALE UJAMAA, UMOJA, USHIRIKIANO NA UNDUGU !!! | JIFUNZE UJASIRIAMALI

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA HAPO KALE UJAMAA, UMOJA, USHIRIKIANO NA UNDUGU !!!


Lakini leo /sasa kila mtu na chake. Hakuna tena ule umoja wa kunywa pamoja, kula pamoja na kusali pamoja. Je? kwa nini umoja wetu umepotea?----Nawatakieni wote Ijumaa njema ila usinywe ugimbi/ ulanzi/ pombe...mwingi/nyingi ,,Lol


Story kutoka Maisha na mafanikio blogu. Nimeipenda, inanikumbusha kijijini enzi hizooo!  tulipokuwa tunakunywa mbege.

0 Response to "HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA HAPO KALE UJAMAA, UMOJA, USHIRIKIANO NA UNDUGU !!!"

Post a Comment