JINSI YA KUPIMA MAFANIKIO YA WEBSITE YAKO - SEHEMU 1 | JIFUNZE UJASIRIAMALI

JINSI YA KUPIMA MAFANIKIO YA WEBSITE YAKO - SEHEMU 1

Katika makala zilizopita tumeangalia umuhimu wa kuwa na Website. Pia tumeangalani hatua muhimu za kupitia mpaka unakuwa na website. Lengo la website ni kufanya kazi na siku ya mwisho wewe kama mmiliki ni lazima uone matokeo ya kazi iliyofanywa na website.

Ingawa kumekuwa na mijadala sana kwenye uwanja wa IT juu ya upimaji wa matokeo ya IT, wengi wakisema, ni ngumu kupima matokeo yanayosababishwa na IT pale ambapo IT inakuwa ni  muwezeshaji, na website ikiwa ni sehemu moja wapo. Ukweli ni kuwa, kwa sasa IT si muwezeshaji tena, bali ni sehemu ya kazi. Hivyo, inatakiwa itoe matokeo tena yanayopimika, na website ni sehemu mojawapo. Na lazima ijumuishwe kwenye malengo ya kampuni / shirika.

0 Response to "JINSI YA KUPIMA MAFANIKIO YA WEBSITE YAKO - SEHEMU 1"

Post a Comment