![]() |
Manchester United |
Timu ya Manchester United imesababisha maafa makubwa, baada ya kuichapa
Bayer Leverkursen mabao 5 kwa ubuyu huko Ujerumani katika mechi ya Ligi ya
Mabingwa wa Ulaya.
Manchester United walikua:
De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra/Buttner , Jones, Giggs, Valencia/Young
, Kagawa, Nani na Rooney/Anderson. Wakati Bayer Leverkusen kikosi kilikuwa na : Leno,
Donati, Spahic, Omer Toprak, Can, Bender/Kohr , Reinartz/Hegeler , Rolfes, Castro,
Son Heung-min/Derdiyok na Kiessling.
0 Response to "MAN UNITED NOMA,YAFANYA MAUAJI YAKUTISHA, YAWATANDIKA WAJERUMANI 5, BILA NYUMBANI KWAO"
Post a Comment