RAIS JOSEPH KABILA WA DRC AKIZUNGUMZA KISWAHILI FASAHA UTAFIKIRI NI MTANZANIA HALISI | JIFUNZE UJASIRIAMALI

RAIS JOSEPH KABILA WA DRC AKIZUNGUMZA KISWAHILI FASAHA UTAFIKIRI NI MTANZANIA HALISI

Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo











Joseph Kabila, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zamani (Zaire) akiongea na Wananchi wa Mashariki ya nchi hiyo iliyowashinda waasi wa M23 hivi karibuni katika vita vilivyodumu kwa takribani mwaka mmoja, alikuwa akizungumza kwa kiswahili safi utadhani ni Mtanzania vile. Msikilize hapa alivyokuwa akitiririka Kiswahili.




CREDIT: DW Radio Ujerumani Kiswahili

0 Response to "RAIS JOSEPH KABILA WA DRC AKIZUNGUMZA KISWAHILI FASAHA UTAFIKIRI NI MTANZANIA HALISI"

Post a Comment