Mechi imemalizika kwa
wenyeji Brazili kushinda kwa mabao 3 kwa 1 dhidi ya timu ya Croatia, bao ambalo
Brazili walijifunga wenyewe. Hata hivyo kiwango cha Brazili kilikuwa siyo kama
vile watu wengi walivyotarajia na hii inatia wasiwasi kama Brazili itafanya
vizuri hapo baadae. Kesho ni Mexico na Timu ya kwanza kutoka Barani Afrika
Cameroon tuangalie tuone simba hao wasioshindika watafanya vipi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "BRAZILI YAPATA GOLI LA TATU DAKIKA ZA LALA SALAMA, YASHINDA MECHI"
Post a Comment