CAMEROON ITAFANYA MAAJABU LEO? | JIFUNZE UJASIRIAMALI

CAMEROON ITAFANYA MAAJABU LEO?

Kikosi cha timu ya Cameroon(Simba wasioshindika) 
Leo wawakilishi wa Afrika Cameroon miongoni mwa wawakilishi wengine wanne wataingia uwanjani kukabiliana na Timu ya Mexico. Bara zima la Africa macho yao leo wanayaelekeza jijini Sao Paulo wakitarajia maajabu kutoka kwa timu hiyo mashuhuri iliyowahi kutinga nusu fainali za kombe hilo miaka iliyopita. 

0 Response to "CAMEROON ITAFANYA MAAJABU LEO?"

Post a Comment